- KWA kawaida marais wakishaingia madarakani wanakuwa na Katibu Mkuu Kiongozi waliyemkuta kwa kipindi cha mpito, lakini baadaye wanakuwa na Katibu Mkuu Kiongozi wakwao, kwa hiyo siyo jambo la ajabu kwangu....
KWA mara ya kwanza aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, amezungumzia kutumbuliwa kwake kulikofanywa na Rais Dk. John Magufuli, kuwa ni kawaida kihistoria na haoni ajabu juu ya h
Nipashe ilitaka kujua kwa undani kilichochangia kuondolewa kwake katika wadhifa huo aliodumu nao kwa siku 65 baada ya Dk. Magufuli kuingia Ikulu.
“Kama unajua ilivyo kwenye historia, kwa kawaida marais wakishaingia madarakani, wanakuwa na Katibu Mkuu Viongozi waliowakuta kwa kipindi cha mpito, lakini baadaye wanakuwa na Katibu Mkuu Kiongozi wa kwao, kwa hiyo siyo jambo la ajabu kwangu,” alisema.
No comments:
Post a Comment