Translate

Friday, April 28, 2017

KENYATA ARUSHA KOMBORA KWA ODINGA!



Baada  ya  Raila Odinga kuteuliwa  kuwa  mgombea  wa  urais  kupitia muungano  wa  Nasa Uhuru Kenyatta  amesema  muungano huo  wa upinzani  hauna  nia  njema  kwa  Kenya  zaidi  ya  kugawana  vyeo tu,,

Uhuru Kenyatta  Amesema  viongozi  wa upinzani wakiongozwa  na Raila Odinga  wamekosa  malengo  zaidi watumia  nguvu  nyingi  kupigania  madaraka na kugawana vyeo  badala  ya kupigania  wakenya..
Uhuru Kenyatta  amesema  viongozi wao  walikuwa  serikalini  kwa  muda mrefu  sana lakini  hawakufanya  chochote  cha  maana..
#Akasema  viongozi  wao hao siyo watu  wanaoheshimu  demokrasia nchini zaidi  ya  kufanya maandamano...
#Kenyattaa  akaenda  mbali  kuwa viongozi wao  siyo  watu  wanaoheshimu  katiba  akatolea  mfano  viongozi wao  walivyotengeneza  nafasi  ya waziri  mkuu  na   naibu  waziri  wakati  havikuwepo  ndani  ya  Katiba ya  Kenya
Uhuru Kenyatta  ametoa  kauli hii  wakati  alipofanya  ziara katika  maeneo ya akaunti  ya    Kiambu   huku  upinzani wakifanya  mkutano Nairobi ambapo  wameweza  kumtaja  mkombea  wao urais ambaye  ni  Raila Odinga

No comments:

Post a Comment