Translate

Sunday, April 17, 2016

JE WAJUA? : MAMBO 10 USIYOJUA KUHUSU KUPUMUA!

Mambo 10 usiyoyajua kuhusu kupumua:

  1. Mtu mzimas anapumua mara 23,000 kwa siku.
  2. Kazi kubwa ya kupua sio kupata oxygen bali ni kuondoa kabon dayoksaididayoksaidi
  3. Kupumua kwa kutumia mdomo ni hatari kwa afya yako
  4. Unavyopumua kwa kasi ndiyo unavyozidisha njaa.
  5. Unatakiwa kufanya mazoezi kwa kiwango ambacho utaweza kupumua ukiwa umefunga mdomo
  6. Pua ina ngazi nne za kuchuja hewa inayoingia, na ukipumua kwa mdomo hewa inaenda moja kwa moja mpaka ngazi ya nne.
  7. Kama mapafu yakitandazwa chini yana uwezo wa kufikia uwanja wa mpira wa tenesi
  8. Kupumua kunaendeshwa kwa mfumo wa fahamu usio wa hiali [involuntaly] 
  9. Ukijizuia kupumua unaongeza kabon dayoksaidi mwilini 
  10. Ukijizuia kupua unatibu kwikwi

No comments:

Post a Comment