Translate

Tuesday, April 12, 2016

SUPERSTAA WA BONGO DIAMOND PLATNUMZ AJITETE HIVI BAADA YA KUTOBOA PUA



12912326_219328391766927_96257311_n
Diamond Platnumz anaendelea kuwaumiza kichwa mashabiki wake kwa kipini chake cha pua.

Kwa tamaduni za Kitanzania, si kitu cha kawaida mwanaume kutoboa pua au hata tu kupachika kipini puani ndiyo maana tangu staa huyo aonekane akiwa na kipini hicho, mashabiki wake mwenyewe hawaishi kumshambulia.
Hata hivyo haoneshi kushtushwa na malalamiko hayo kwakuwa huenda anajua kuwa si mtu wa kwanza kufanya hivyo.
Hawa ni mastaa wengine duniani wanaovaa kipini cha pua.
The Game
Game
Wiz Khalifa
Wiz
Chris Brown
1416783444400_Image_galleryImage_AGOURA_HILLS_CA_NOVEMBER_
Travis Mccoy

Travis


Travis Barker


Travis Barker


Lil Scrappy

Lil-Scrappy-Havent-Paid-Child-Support-In-a-Years-Owing-45K-In-Back-Support

Lenny Kravitz


Lenny Kravitz

Mac Miller

Mac Miller


Zayn Malik

Zayn Malik
Young Thug

11117061_949304351769926_1761678082_n


Austin Mahone

Austin Mahone

Chance The Rapper


Chance

And ofcourse Tupac

nose-piercing-4-1429281402

CHANZO na Bongo5

No comments:

Post a Comment