Kwa tamaduni za Kitanzania, si kitu cha kawaida mwanaume kutoboa pua au hata tu kupachika kipini puani ndiyo maana tangu staa huyo aonekane akiwa na kipini hicho, mashabiki wake mwenyewe hawaishi kumshambulia.
Hata hivyo haoneshi kushtushwa na malalamiko hayo kwakuwa huenda anajua kuwa si mtu wa kwanza kufanya hivyo.
Hawa ni mastaa wengine duniani wanaovaa kipini cha pua.
The Game
Chris Brown
Travis Mccoy
Travis Barker
Lil Scrappy
Lenny Kravitz
Mac Miller
Zayn Malik
Young Thug
Austin Mahone
Chance The Rapper
And ofcourse Tupac
No comments:
Post a Comment