
Kwa tamaduni za Kitanzania, si kitu cha kawaida mwanaume kutoboa pua au hata tu kupachika kipini puani ndiyo maana tangu staa huyo aonekane akiwa na kipini hicho, mashabiki wake mwenyewe hawaishi kumshambulia.
Hata hivyo haoneshi kushtushwa na malalamiko hayo kwakuwa huenda anajua kuwa si mtu wa kwanza kufanya hivyo.
Hawa ni mastaa wengine duniani wanaovaa kipini cha pua.
The Game


Chris Brown

Travis Mccoy

Travis Barker

Lil Scrappy

Lenny Kravitz

Mac Miller

Zayn Malik

Young Thug

Austin Mahone

Chance The Rapper
And ofcourse Tupac

No comments:
Post a Comment